Alichokisema Capt. Tesha

Huyu sasa ni kiongozi! kaweka maisha yake kwenye maslahi mapana ya nchi
 
“Ninaiona hatari kubwa sana mbele yetu”-Capt. Tesha

Watu walimbeza na kumtukana, haijazidi mwezi hatari hii hapa.

View attachment 3496299
Tesha, Humphrey Polepole, Gwajima na Agustino Polepole. watu walikuwa wapo kila uzi na wanafungua nyuzi za kumtukana, kumkejeli, kumbeza, kuwabeza Watanzania wote waliowaunga mkono pamoja.

Tanzania nyumbu na wasaliti ni wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…