Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Hivi wadau hizi timu kaharibu ni kweli zimezidiwa au hua Kuna kamchezo kanaendelea Kati ya wamiliki wa timu na wenye makampun ya Bet tusije kua tunapoteza hela tu Kama kweli watu wanashinda hela ndefu yeyote atupie screen shot ya mkeka aliokula wa hela nyingi