Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Baada ya uchuguzi wa 2000. Ali Salehe mtangazaji wa Bbc Zanzibar alikuwa ni mmoja ya watangazaji waliokuwa wakifichua mengi zenj kwa ujasiri mkubwa mpaka kuitwa jina Superman . lakn tangua achaguliwe kuwa mjumbe wa BMZ(BARAZA LA MICHEZO ZANZIBAR ) sasa humsiki hata ukimsikia habari zake kutokea zanzibar ni habari za vijiweni(wauza kahawa), halua na wauza nyanya , urojo na kachori na sio tena zile habari tunzozijua, iansemekana CCM 2010 ameahidiwa ulaji zaidi zanzibar baada ya kuona cuf hawashindi uchaguzi. jee kweli?
Last edited by a moderator: