kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,397
Iranian state media reports death of security chief
Iranian state media has reported that the country's security chief Ali Larijani has been killed.Israel announced earlier today that he was killed in an overnight strike
Iran initially appeared to deny the report by posting a handwritten note it claimed was written by Larijani on his social media account minutes later.
The note paid tribute to Iranian sailors killed in a US submarine attack on its Dena warship on 4 March.
This is the first confirmation from Iran of Larijani's death, and it comes after it also confirmed the killing of Basij commander Gholamreza Soleimani
=============
Tuwe makini na habari tunazopost si vyema kueneza fake news au kutegemea Mainstream media za magharibi
Jitahidini kubalance story kwa kutafuta vyanzo vingi, binafsi mpaka nilete habari hapa JF ujuwe nishaiverify na nina uhakika nayo hii habari bado Iran wenyewe hawajaverify
Kama habari nina mashaka nayo huwa naandika kabisa kuwa ni tetesi na unconfirmed
Jamii check muwe mnapita na humu jukwaa la kimataifa na sio tu mnabase kwenye majukwaa mengine
UPDATE:Vyombo vya habari vya Iran na serikali wamecomfirm kuwa Ali Larijani ameuliwa!!