Anayetazama upepo na kuweweseka ni Diamond, kumbuka baada ya Kiba kurelease Nagharamia nae akaachia Utanipenda,sasa kasikia Kiba anataka kuachia Lupela kaanza kuweweseka.
Sisi wala hatuna pressure, tunawaangalia tu mnavyobabaika.
Anayetazama upepo na kuweweseka ni Diamond, kumbuka baada ya Kiba kurelease Nagharamia nae akaachia Utanipenda,sasa kasikia Kiba anataka kuachia Lupela kaanza kuweweseka.
Sisi wala hatuna pressure, tunawaangalia tu mnavyobabaika.
nimewacheki sana,nawaona ni watu 'aggresive' hawa watu wanatukana sanaaa wa na kutumia lugha kali kupitiliza kuna shida gani jamani?hasa hasa instagram