saf!!ila naona mkuu kiba hajafanya fresh kwenda mbali zaid kupiga collabo na neyo wakati bado afrika hajaiteka sana, yasije yakawa ya AY aliefanya collabo na wasanii wakubwa wa nje ila afrika hajajulikana sa hiv yupo kimya!! labda asubiri collabo na davido litoke na liweze kuhit hilo song lao aweze kujulikana kwanza afrika!!