Ali Kiba Fans' Special Thread...

tatizo lako kedrick wewe huna watu wakucha nao sasa unaluja huku ili utafute watu wa kuchati sio vibaya ila kwa sasa huku tushakujua nenda fb au insta ndo kuna huo ujinga

Sasa we unajiona unaongea cha maana izo post zko ndo maana juzi ulichanwa n member mwenzako watu km nyie ndo mnafanya kiba aonekane kilaza
 
Last edited by a moderator:
Sasa we unajiona unaongea cha maana izo post zko ndo maana juzi ulichanwa n member mwenzako watu km nyie ndo mnafanya kiba aonekane kilaza
mi sawa naongea pumba sijielewi
sina point ila siwezi nikafanya huu ujinga kiba mwenyewe hawezi fanya huu ustupid nyambafu

huyu analiwa 0713 #kiba hawezi fanya huu upuuzi
 
cute b walikuchora katuni walikuwa wanakusumbua saanaa na ile katuni sasa naomba uwaekee hizi picha

ukiwakoti waekee hii picha plz wamezidi usumbufu hawa cute b
 
Last edited by a moderator:
cute b walikuchora katuni walikuwa wanakusumbua saanaa na ile katuni sasa naomba uwaekee hizi picha

ukiwakoti waekee hii picha plz wamezidi usumbufu hawa cute b

Tayari mkuu nishawasambazia copy za mr icon
 
Last edited by a moderator:
yani kedrick una tabu sanaa wewe jamaa umebadilisha id tukakukamata sasa umeenda insta unamtukana kiba halafu ulivyo mjinga unaandika kama jf unavyoandika na umejiwekea private ondoa sasa private kama unajiamini


jamani naomba mumfollow kedrick insta anajiita KANJIbahi3

hahaa #tushanyooka inameni sasa
 

Attachments

  • 1437816566551.jpg
    54.9 KB · Views: 88
  • 1437816580708.jpg
    48.5 KB · Views: 86
Last edited by a moderator:
halafu hayupo jf id inaonyesha yupo insta anatukana wallah dume zima kuchambana insta sijui anatafuta nn #tushanyooka tayari
 

Attachments

  • 1437816943011.jpg
    34.2 KB · Views: 85
  • 1437816971345.jpg
    30.9 KB · Views: 81
  • 1437816983791.jpg
    10.4 KB · Views: 81

Aisee pwilo nakuomba usichafue jina langu cjawahi tukana insta n hata cku moja ujawahi niona namtukana kiba hapa huyo sio Mimi me najiheshimu cwezi tukana ovyo n cjawahi mtukana huyo kiba wenu
 
Last edited by a moderator:
Kainama minyoosho iingie khaakhaa

Kiukweli hapa napata picha halisi kuwa huyu dogo ni mshirikina kiasi gani...na naomba TEAMMONDI waje sasaivi kujibu jibu izi shutuma haraka na watuambie kabisa hapa huyu Mondi wao alikusudia nini kufanya hivi kama sio mshiirikina na hayo ndo masharti ya mgangà wake???...bhasi wakubali alikuwa yupo matangazoni kutafuta bwana...maana BIASHARA MATANGAZO BHANA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…