ndio mi shabiki bumunda
we ulitaka nimshabikie nani labda?!!!
au labda kua mvivu ndo kukosa mashabiki?
au unatafuta umaarufu kunuka jf?
pole sana dada!!
kumbe unajua hilo
kihereher gani kilikutuma utuandike labda...?$!
au tujue na we upo jf?!!
haya tushajua kuna miss gracious yupo jf na amechangia kwa kiba
hongera kachukue soda kwa mangi unywee ntakulipia
Hahahaha ujue huyo jamaa namjua ni best angu sana tulikua wote mapipa kipindi flani hivi,nilishangaa sana kumuona kama dancer wa Kiba!
Ni kweli hajui kucheza kabisa analazimisha tu,nimeona kwenye shows za Kiba ana makosa kibao!
Hahahaha ujue huyo jamaa namjua ni best angu sana tulikua wote mapipa kipindi flani hivi,nilishangaa sana kumuona kama dancer wa Kiba!
Ni kweli hajui kucheza kabisa analazimisha tu,nimeona kwenye shows za Kiba ana makosa kibao!
ndio mi shabiki bumunda
we ulitaka nimshabikie nani labda?!!!
au labda kua mvivu ndo kukosa mashabiki?
au unatafuta umaarufu kunuka jf?
pole sana dada!!