Matola naomba ufikishe ushauri wangu kwa AK,mwambie anatakiwa kutenga bajeti kubwa kufanya video yenye viwango na hadhi ya jina lake.ajifunze toka dongote.aache kumchulia domokama mshindani wake,domo is too ahead of him.he should lay low for a massive comeback.else itakuwa ni hadithi tu kwamba tuliwahi kuwa na msanii mkubwa kwa jina ally kiba.ni hayo tu