Jamani jamani!!! Mdakuzi ni kijana mbiiichi kabisa hata meno 32 hajafikisha......lol
Mimi ndiye ninayemjua unataka hutaki unaacha tu kwani sh ngapi?
Sitaki maswali sijajiandaa hii sio press conference
Kwa mnaopita kimya na kwenda kusimulia mtaani kwenu,acheni utoto!Nani alisema anasikiliza nyimbo za Kiba peke yake?!Aibu yenu hiyooo!!hapa hakuna lugha gongana ni kuwa amongst bongoflava artists wote to us Kiba is the best!!Sasa wewe tufatilieee wee akili ikuume!!jaman nmepitisha jicho kule,skupitisha kama week iv,page zote ni kutusimulia sie tuuu!!Ukiwa Royal family raha sana!!