Kiba unaumiza watu roho baba yeleuwiiiiiiiiii. yaan watu wana hashuo la kwapa kunuka pasipo kidonda. Jamani eeeeeh mwatujazia uzi hatujawaita mbna kuna uzi mingi tu ya huyo play boy wenu kwann mcweke huo uharo wenu.?? Alaaah embu mtupishe
Hata ingekua gawanya hamna la ajabu kabisaaaa!!Kiba kiboko yenu,amewakalisha mpaka nw mnajicomentisha kwenye uzi wa fans wake,najua kimoyo moyo unamkubali ila huwezi sema shoga yangu!!
Jamani angalieni msijiqoute tu hata sie hatujapenda kabisaa kila kitu Dai tu mpaka anakeraaa poleni rafiki zetu, ,,,yaan kuna timu ya mpira ukiishabikia lazima uumwe sasa ndio nyieee
Hata ingekua gawanya hamna la ajabu kabisaaaa!!Kiba kiboko yenu,amewakalisha mpaka nw mnajicomentisha kwenye uzi wa fans wake,najua kimoyo moyo unamkubali ila huwezi sema shoga yangu!!
Mmepagawa sana,inaonyesha ni kiasi gani hamkutarajia!sasa nauliza tuzo ya dai y taarifa kwa Kiba!ina maana mmekubali Kiba ndo kiboko ya Dai!!ha ha ha,gadem mburulaz!I like it!