Subiri jioni saa11, Escrow ni balaa linamgusa mpaka tezi dume na serikali ni lazima ianguke tena, na Laigwani mamvi kawapanga vijana wake ipasavyo wanashambulia kama nyuki.
Subiri jioni saa11, Escrow ni balaa linamgusa mpaka tezi dume na serikali ni lazima ianguke tena, na Laigwani mamvi kawapanga vijana wake ipasavyo wanashambulia kama nyuki.
Subiri jioni saa11, Escrow ni balaa linamgusa mpaka tezi dume na serikali ni lazima ianguke tena, na Laigwani mamvi kawapanga vijana wake ipasavyo wanashambulia kama nyuki.
Hili suala ni balaa,kila mtu atabeba msalaba wake,aisee
Hahahaaaa eti tezi dume
Jamani nilikua namuamini na kumpenda prof. Anna Tibaijuka sijui imekuwaje na yeye pia yumo,dah!
Hili suala ni balaa,kila mtu atabeba msalaba wake,aisee
Hahahaaaa eti tezi dume
Jamani nilikua namuamini na kumpenda prof. Anna Tibaijuka sijui imekuwaje na yeye pia yumo,dah!