Albert Msando sio raia wa Tanzania?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Wakili huyu maarufu ameshutumiwa kuwa sio raia wa Tanzania.wazazi na ndugu zake wahojiwa kuhusu suala hilo.



=======Updates =======

 
Sijakuelewa Mkuu, Ni Raia Wa Wapi Na Evidence Zipi?
 
Thread nyingine ya kipuuzi! Upuuzi kabisa!
 
Hilo saliti ukilicheki ni kama mbegu ya kitusi hivi!
-ha!ha!ha!haaa! Msando bwana eti wakili msomi!
Chadema for life.
 
Ninamashaka na uraia wa nnape wakuu nijuzeni asili yake,mbona ni kama mtusi?
 
Hahahaha vingine vinachekesha unajua kumtafutia mtu sababu huwa inakuwa kazi sana hadi kufikia mahali ambapo hata haiingii akiliani
Nakumbuka hata Jenerali Ulimwengu waliwahi kumfanyia hivyo
Husein Bashe nae alifanyiwa hivyo.
Zote hizi ni mfa maji huwa haachi kutapatapa,
U
Hivi uraia wa mtanzania unaanzia wapi hasa?ikiwa mtu kazaliwa hapa kakulia hapa na kasoma na bado kazi anafanya hapa, tangu nimemfahamu Beto sijawahi sikia anaye hata baba mkubwa nje ya nchi.
Kama ni sababu tumtafutie zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…