Kinachonifutahisha kuhusu ''wasomi'' wa kibongo ni namna ''wanavyokoleza'' maandishi yao kwa mbwembwe: Hayati, mheshimiwa rais Dr Magufuli'' , Mheshimiwa, rais, dr, Samia na Jamhuri ya muungano ya Tanzania (JMT). Uandhishi wa aina hii utaukuta wa wasomi mchongo tu.