Albert Msando Acha Upotoshaji

Sema huyu evangelical ni nunda, anabishana na wenye akili wakati yeye ni mbumbumbu
 
Sema huyu evangelical ni nunda, anabishana na wenye akili wakati yeye ni mbumbumbu
Mwenye akili nani sasa ? Ndio huyo msando aliyeweka hesabu zake za kipumbavu.
Ukisoma.kwa makini hiyo ibara ya 90 kuhusu kuvunjwa kwa bunge ina ukakasi na ndio maana wajingawajinga kama nyie na huyo msando mnaitumia kupotosha .
Tangazo kwenye gazeti la serikali si lingetoka na kusema bunge limevunja tatehe 27/06./2025 embu acheni kupotosha
Rais anahutubia kuvunja bunge sio eti kusema shughuli za bunge zimesitishwa halafu eti bunge litavunjwa sijui siku gani huko.
Wapi kwenye katiba kunaeleza kwamba Rais anasitisha shughuli za Bunge. KATIBA inaongelea KUVUNJA Bunge na wala sio KUSITISHA shughuli za Bunge .
Embu wewe mwenye akili nieleze maana ya kusitisha shughuli za Bunge na kuvunja Bunge na hilo linapatikana kwenye Ibara ipi ya katiba
 
Hater
 
Kwanza umejuaje mimi ni dogo? Naweza kuwa nimekuzidi .
Naomba nitajie wapi kwenye ekatiba yetu kuna ibara inayoelezea kusitisha shughuli za Bunge .
Katiba inaelezea kuvunjwa kwa Bunge tu .
Rais kwa.mujibu wa Katiba yetu anatakiwa aseme navunja bunge suala la kusitisha shughuli za Bunge sijui kalitoa wapi.
Hilo suala la kusitisha shughuli za bunge halipo kikatiba sijui kalitoa wapi
 
Tafuta hela, ulokole ni umasikini.....

View attachment 3387251
Kama ID yangu inakuchanganya ukazani mimi ni mlokole umepotea sana.
Mimi sio mlokole na kamwe siwezi kuwa huko.
Kimsingi mnatakiwa kujibu hoja sio kukimbia hoja.
Rais wetu kachemka kafanya kitu ambacho hakipo kikatiba tatizo wajinga wajinga kama.nyie mmekaa kusifia na kukubali kila atachosema.
Wewe inaonekana akisema mpe tako Abdul utakubali kutoa tako kwa akili zako hizi.
Embu acha ufala kuwa independent minded person
 
Wewe bwege unasoma katiba kama novel za Eric Shigongo, soma kwa kuelewa
 
We una mtindio wa akili, mbwa usiye na adabu utakufa na hayo makasiriko yako. Useless sperm
 
Hivi Msando alimla kalio Ggy?πŸ˜πŸ˜†πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…