Viongozi wote wa mtandao wa Alqaida wako Guantanamo au wameuliwa lakini bado unafanya kazi.Na hautakufa kirahisi mpaka wajiridhishe wamefanikiwa katika vita vyao dhidi ya uislamu na kupigania mafuta na utajiri wa dunia.Ndio maana sasa wanazusha maadui wapya akina Joseph Kony.