Al-Qaeda releases posthumous message

Wiki iliyopita walikuwa wakiionesha (showing off) meli iliyomzika Osama kule Phillipines ambapo raisi Arroyo na waandishi wa habari walipata fursa kuingia ndani na kuzungumza na mabaharia wake.
Sasa mizunguko yote hiyo ya nini.Mara picha,mara meli ,mara video.........Muhimu ni picha za maiti ya Osama hata ikiwa zinatisha!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…