Akina dada sikilizeni niwaambie kitu

TheChoji

JF-Expert Member
Apr 14, 2009
4,974
15,310
Imagine umetoka zako nyumbani, unazunguka zunguka kwenye shopping malls au mitaani. Uko vizuri kipesa, una hela za kutosha tu kwenye pochi/mpesa/benki.

Ghafla wakati unatembea kucheki dukani unakutana na pochi moja matata sana, label unayopenda, rangi/material ya maana! Unajiambia "ile pochi siiachi, lazima niimiliki kwa gharama yoyote..!"

At that point, haijalishi kwamba nyumbani una pochi ngapi, pengine nzuri au za ghali kuliko hii. Kinacho matter ni kwamba hii uliyoiona leo unaitaka! Unaanza ku imagine jinsi ambavyo utatokelezea ukiwa nayo, itakavyoendana na nguo zako nk. Muda huo hata mtu akuambie nini huwezi kumsikia, ni lazima uichukue hiyo pochi.

********************
Basi na sisi wanaume ni hivyo hivyo pindi tunapokutana na demu mzuri! Kwahiyo naomba muache kutuuliza kwanini tunahangaika na wanawake wengine wakati tuna mke/mpenzi!

Asanteni
 
Walawi 19: 1 - 2,
2. 1Petro 1: 14 - 16,
3. Yohana 14: 15,
4. Yakobo 2: 10 - 11,
5. 1Yohana 3: 22 - 24,
6. 1Yohana 4: 7 - 8,
7. 1Yohana 5: 18 - 19,
8. Wagalatia 5: 19 - 21 & 22 - 25,
9. Wafilipi 1: 20 - 21,
10. Marko 11: 23 - 25,
11. Matendo 19: 11 - 12,

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom