Wanawake wenzangu naomba tumshauri huyu binti,
Ni mdada wa miaka 29 sasa alizaa na mwanaume walikua na ahadi ya kufunga mambo ya liingiliana lakini process zote tayari kasheshe inakuja wakati binti anachumbiwa jamaa alimwambia anamtoto wa 7years bint akakubali kumbe kuna mwanamke tena aanamimba ya jamaa.
Binti kapata ujauzito kuna wanawake wengine wawil wa jamaa wanaujauzito, binti kajifungua hajui kama wenzie wanawatoto jumla watoto 4 kwa wanawake wanne tofauti wa kwanza 7 years, wa pili 1year wa tatu miez 9 na wanne ambae ndio wa binti sasa ni miez 7 kaja kujua juzi.
Baada ya mmoja kumtafuta binti Fb na kumwambia ikiwa pamoja na kumtumia picha za watoto copy kabisa na jamaa.... kamuuliza jamaa kakubali kaomba msamaha, anataka amchukue binti wakaishi pamoja yani amalizie mahari kwani alitoa nusu, ila ndoa badae binti hajui cha kufanya kwani anataka kumuacha jamaa anawaza kuwa single mother na umri umeenda 29 akifikiria hivyo anachanganyikiwa.
Tujaribu kumshauri huyu mtu
Ni mdada wa miaka 29 sasa alizaa na mwanaume walikua na ahadi ya kufunga mambo ya liingiliana lakini process zote tayari kasheshe inakuja wakati binti anachumbiwa jamaa alimwambia anamtoto wa 7years bint akakubali kumbe kuna mwanamke tena aanamimba ya jamaa.
Binti kapata ujauzito kuna wanawake wengine wawil wa jamaa wanaujauzito, binti kajifungua hajui kama wenzie wanawatoto jumla watoto 4 kwa wanawake wanne tofauti wa kwanza 7 years, wa pili 1year wa tatu miez 9 na wanne ambae ndio wa binti sasa ni miez 7 kaja kujua juzi.
Baada ya mmoja kumtafuta binti Fb na kumwambia ikiwa pamoja na kumtumia picha za watoto copy kabisa na jamaa.... kamuuliza jamaa kakubali kaomba msamaha, anataka amchukue binti wakaishi pamoja yani amalizie mahari kwani alitoa nusu, ila ndoa badae binti hajui cha kufanya kwani anataka kumuacha jamaa anawaza kuwa single mother na umri umeenda 29 akifikiria hivyo anachanganyikiwa.
Tujaribu kumshauri huyu mtu