Akina dada mnakwama wapi?

Akina dada mnakwama wapi?

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,332
Reaction score
3,230
Naandika huu uzi kwa majonzi, siku hizi akina dada wengi sana wanatumia mitandao ya kijamii kujiuza.

Unakuta ni binti mrembo kabisa ambaye alipaswa kuolewa cha ajabu unakuta anajiuza huko hitwe, badoo, waplog nk.

Hivi kwanini msitafute kipato kwa njia nyingine.

Nimeamua kuandika baada ya kuwa na-chat na dada mmoja katika mtandao fulani. Nikaishiwa kuambiwa kama nina laki moja nikamgegede, sikutarajia jibu kama hilo kwani tulikuwa kwenye normal chats na mm nikimsifu kuwa ni mrembo.

Nimechoka, kina dada badilikeni
 
Mkuu tatizo ni hii awamu jua limewaka mpaka mifukoni watu wana hali ngumu ndio mana inafika mahali wanajifanya kama bidhaa atumike apate pesa ya kujitunza bado aangalie mwanae au familia yake.
 
Wa kuwaambia wabadilike ni hao unaochat nao huko badoo.
Ushauri wako umewrong sehemu ya kuuleta. Au ndo sisi sisi tupo JF na badoo😂😂😂😂
 
IMG_2950.JPG


Mbuga ya wanyama burigi chato
 
Wanunuaji wapo ndiyo maana biashara inashamiri kila kukicha
 
Back
Top Bottom