Akina dada bwana!, fedha au ufike kileleni, chagua moja,

mbona kitu kiko wazi 'mtego wa noti'. Ni hivi yeye hana mapenzi na ww ndo maana anakuchuna(mizinga). Na ww huna mapenzi na yy ndo maana unalalamikia vitu vidogo ambavo ulitakiwa kuvifanya kama wajibu wako. Simply wote hampendani.
 
Huyo ni mchunaji bana sio mpenzi....na ndio mana anadai chake mapema....
 
mbona kitu kiko wazi 'mtego wa noti'. Ni hivi yeye hana mapenzi na ww ndo maana anakuchuna(mizinga). Na ww huna mapenzi na yy ndo maana unalalamikia vitu vidogo ambavo ulitakiwa kuvifanya kama wajibu wako. Simply wote hampendani.
Sante mkuu..... Sredi klozidi.
 
wape vidonge vyao.......! mwingine utasikia anasema ngoja nikae/nifanye hivi ndo nafurahi/namaliza.........shiite!
 
wape vidonge vyao.......! mwingine utasikia anasema ngoja nikae/nifanye hivi ndo nafurahi/namaliza.........shiite!
mi siku izi wakti namuweka sawa demu yoyote, namuuliza...unataka nikulipe nile nisepe au na wewe ufike kilimanjaro?!!!!!
 
Hivi nyie mnajadili habari ya uzinzi kwa kuipamba dhambi, mwasemaje?! Kubanjua amri ya sita (ya Yehova Mungu Mtakatifu)?!
Mcheni Mungu enyi watu wote.
 
Hivi nyie mnajadili habari ya uzinzi kwa kuipamba dhambi, mwasemaje?! Kubanjua amri ya sita (ya Yehova Mungu Mtakatifu)?!
Mcheni Mungu enyi watu wote.
kwani kufanya tendo la ngono siyo kuvunja amri ya sita? sasa unakataa nini?
 
Ningekuwa mie ningeacha uznz kbs.mana umaskn unakusogelea taratbu kwa kuchunwa
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…