Akina Baubaa Kwisha Kazi

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,156
13,258
wimbi la hili kundi linaanza kutoweka kwa kasi mjini baada ya kuibuka kwa kasi
 
Ndio kundi gani mkuu maana sisi wengine ni wageni mjini ndio tumekuja juzi juzi hapa tena tumeletwa na masomo ya vyuo vikuu vilivyotapakaa hapa mjini, vinginevyo ningekua zangu Nyanderema nakula masiloche.

Tusaidie na sisi wageni tuwajue mkuu.
 
Ndio kundi gani mkuu maana sisi wengine ni wageni mjini ndio tumekuja juzi juzi hapa tena tumeletwa na masomo ya vyuo vikuu vilivyotapakaa hapa mjini, vinginevyo ningekua zangu Nyanderema nakula masiloche.

Tusaidie na sisi wageni tuwajue mkuu.
wageni mjini huitwa kolongwee
 
Back
Top Bottom