Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
aseme neno dhidi ya sms aliyotuhumiwa kumwandikia mkuu wa jeshi la polisi ambayo IGP aliiforward kwa waziri wake dr Nchimbi.
yeye akajibu. " kwakuwa IGP alitaka ushauri wa waziri wake, na waziri wake alishindwa kuchukua hatua... basi waziri ajiuzuru"
kwaiyo watu wanavunja sheria wakitaka hatua zichukuliwe dhidi yao. baada ya kupuuzwa wakalazimisha hatua zichukuliwe dhidi yao na inapobidi hata damu ya watu imwagike.. sidhani kama hii ni busara.. dr hakutakiwa kujibu swali hili kwa namna hii...
yeye akajibu. " kwakuwa IGP alitaka ushauri wa waziri wake, na waziri wake alishindwa kuchukua hatua... basi waziri ajiuzuru"
kwaiyo watu wanavunja sheria wakitaka hatua zichukuliwe dhidi yao. baada ya kupuuzwa wakalazimisha hatua zichukuliwe dhidi yao na inapobidi hata damu ya watu imwagike.. sidhani kama hii ni busara.. dr hakutakiwa kujibu swali hili kwa namna hii...