Akamatwa Afrika Kusini akipokea madawa kutoka Tanzania

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
643
845
Mtu mmoja anashikiliwa na polisi baada ya Kukamatwa akipokea Madawa yenye thamani ya Rand Milioni 6 zaidi ya Tshs Milion 900 na ushehe.

Mtu huyo ambae jina linahifadhiwa amekamatwa muda mchache uliopita baada bya maafisa wa usalama wa uwanja wa ndege Jijini Johannesburg wakishirikiana na SARS kubaini begi lililokuwa na madawa hayo kisha kuweka mtego ili kumkamata mtu ambaye ametumiwa mzigo huo Kutoka jijini Dar es salaam Tanzania.

Baada ya muda alitokea mtu mmoja na kusema kuwa amekuja kuchukua mzigo wake kutoka bongo ndipo wakamuweka chini ya ulinzi.

Watanzania wenzangu Mambo haya yanatuharibia taswira ya nchi yetu na yanatupa tabu sisi tunaoushi nchi za watu kwa maana tunaonekana sote ndo kazi zetu hizo na hata ukisafiri basi mtanzania huangaliwa kwa jicho la 3 kwasababu hatuaminiki tena.

Bora kidogo chenye neema kuliko kikubwa chenye matatizo na mabalaa tele.

There is no easy money,tumia jasho lako kufanya kazi.
 
Unanikumbusha ile story ambapo Dr. Mwakye alihakiki kwenye camera za airport dar watu wakibeba mzigo na ukakamatwa na wenyenao na vipimo vikionyesha kuwa ni madawa hatari ya kulevya. Mara baada ya siku mbili taarifa inatoka kuwa walikosea ulikuwa unga wa udaga mdada alikuwa anawapelekea rafiki zake walioumiss kitambo na mdada pamoja na squad yake wakarejea zao bongo na kuendelea kutumbua pesa za mzigo uleule!
Ngoja tusubiri kama na huu hautabadilika.
 
kwa SA hayo ni mambo ya kawaida. mwenye mzigo akidakwa ujue hajashirikiana vzr na mamlaka. Sauzi rushwa ya kufa mtu na madawa ya kulevya ndo michezo yao.
 
Mtu mmoja anashikiliwa na polisi baada ya Kukamatwa akipokea Madawa yenye thamani ya Rand Milioni 6 zaidi ya Tshs Milion 900 na ushehe.

Mtu huyo ambae jina linahifadhiwa amekamatwa muda mchache uliopita baada bya maafisa wa usalama wa uwanja wa ndege Jijini Johannesburg wakishirikiana na SARS kubaini begi lililokuwa na madawa hayo kisha kuweka mtego ili kumkamata mtu ambaye ametumiwa mzigo huo Kutoka jijini Dar es salaam Tanzania.

Baada ya muda alitokea mtu mmoja na kusema kuwa amekuja kuchukua mzigo wake kutoka bongo ndipo wakamuweka chini ya ulinzi.

Watanzania wenzangu Mambo haya yanatuharibia taswira ya nchi yetu na yanatupa tabu sisi tunaoushi nchi za watu kwa maana tunaonekana sote ndo kazi zetu hizo na hata ukisafiri basi mtanzania huangaliwa kwa jicho la 3 kwasababu hatuaminiki tena.

Bora kidogo chenye neema kuliko kikubwa chenye matatizo na mabalaa tele.

There is no easy money,tumia jasho lako kufanya kazi.
USHEHE?
 
Yamepita tena uwanja wa ndege wa Dar? kama ni hapo ina maana zile mashine hazikuuona huo mzigo? du! wabongo? magufuli ana kazi sana aisee.
 
Mtu mmoja anashikiliwa na polisi baada ya Kukamatwa akipokea Madawa yenye thamani ya Rand Milioni 6 zaidi ya Tshs Milion 900 na ushehe.

Mtu huyo ambae jina linahifadhiwa amekamatwa muda mchache uliopita baada bya maafisa wa usalama wa uwanja wa ndege Jijini Johannesburg wakishirikiana na SARS kubaini begi lililokuwa na madawa hayo kisha kuweka mtego ili kumkamata mtu ambaye ametumiwa mzigo huo Kutoka jijini Dar es salaam Tanzania.

Baada ya muda alitokea mtu mmoja na kusema kuwa amekuja kuchukua mzigo wake kutoka bongo ndipo wakamuweka chini ya ulinzi.

Watanzania wenzangu Mambo haya yanatuharibia taswira ya nchi yetu na yanatupa tabu sisi tunaoushi nchi za watu kwa maana tunaonekana sote ndo kazi zetu hizo na hata ukisafiri basi mtanzania huangaliwa kwa jicho la 3 kwasababu hatuaminiki tena.

Bora kidogo chenye neema kuliko kikubwa chenye matatizo na mabalaa tele.

There is no easy money,tumia jasho lako kufanya kazi.
MPWA LABDA SIJAKWAMBIA TU HIVISASA KILA MTANZANIA AKITOKEA BRASIL.PAKISTAN NA NCHIZAO ZILE VIA JBG WANAPIGA SACHI MPAKA MAMBUPUU AWAAMINIKI TENA ANYMORE
 
Aisee hii sasa ni dharau ya hali ya juu.
Yaani wewe mtu anatuma mzigo kienyeji namna hiyo?hahahaha hii sasa kali


Hofu yangu ni kwamba alieenda kupokea hakuna mhusika na alikuwa hajui kuna nini ndani,unajua wahusika ni wajanja sana,anaweza kujifanya yupo busy na kumtuma mtu akampokelee kwa masharti asiufungue then anampa chochote.Maana mwenye akili timamu hawezi kwenda kuchukua mzigo kijinga hivyo
Sasa hawa mtego wao wamechemka sana,walitakiwa wamfuatilie jamaa mpaka mwisho wangejua Genge lake.
 
Aisee hii sasa ni dharau ya hali ya juu.
Yaani wewe mtu anatuma mzigo kienyeji namna hiyo?hahahaha hii sasa kali


Hofu yangu ni kwamba alieenda kupokea hakuna mhusika na alikuwa hajui kuna nini ndani,unajua wahusika ni wajanja sana,anaweza kujifanya yupo busy na kumtuma mtu akampokelee kwa masharti asiufungue then anampa chochote.Maana mwenye akili timamu hawezi kwenda kuchukua mzigo kijinga hivyo
Sasa hawa mtego wao wamechemka sana,walitakiwa wamfuatilie jamaa mpaka mwisho wangejua Genge lake.
Mwanangu umenena sana,yawezekana kabisa alieupokea hajuwi ni parcel ya nini?tuwe makini

Mwaka jana nilienda huko mbali aise nilipekuliwa vibaya sana tena bag langu lilitengwa kabisa nalishika tu Wafanya kazi wa airport wakanielekeza secret room baada ya kugundua nimetoka BONGO bag lilifunguliwa na kuvuliwa hadi viatu nilitumia dk 50 kuhojiwa
 
Mwanangu umenena sana,yawezekana kabisa alieupokea hajuwi ni parcel ya nini?tuwe makini

Mwaka jana nilienda huko mbali aise nilipekuliwa vibaya sana tena bag langu lilitengwa kabisa nalishika tu Wafanya kazi wa airport wakanielekeza secret room baada ya kugundua nimetoka BONGO bag lilifunguliwa na kuvuliwa hadi viatu nilitumia dk 50 kuhojiwa
Duhh aisee,inabidi Serikali ijipange upya,maana haiwezekani Uwe mtu unaingia South kama Mbwa
Maana Nchi hii kuna watu wameifanya kama Paradise ya Ngada
 
sio wabongo wote wanaosechiwa beg likipita katika scaner yao wasipoelewa vitu inabidi usechiwe hata Wasauzi nao wanasechiwa wawe wazungu au weusi hadi wazambia na wamalawi wakikuhisi tuu unapekuliwa....na hasa mkichanganywa mkana mmoja mkachukua mabegi na ndege ya brazili wote mnasechiwa...
 
Back
Top Bottom