kama ana mtu.jipe muda,ipo siku utaujua ukweli tu
kuna kitu kuhusu wasichana wa ki tz na magari....
sijui ni nini hasa...
kuna mtu anayaita 'hirizi ya mjapan' lol......
...umenikumbusha binti mmoja outing yetu ya kwanza kwenda kujirusha sehemu sehemu aliniuliza una gari? Nikamwambia usiwe na wasiwasi, basi katililia mwenyewe nilipompitia kwao kama saa mbili za usiku basi kutoka nje hakuna gari nikamwambia tunapanda dala dala acha aanze kulalama hahahaha lol! mpaka hii leo tukikutana huwa namtania, "una gari" tunaishia kucheka sana lol!
Ila mim nikawa na maswal mengi
1.kwanin akose comfednce alipowaona wale jamaa?
2.kwanin aliporudi alinishika kiuno na sio kawaida yake?
wanajamii hebu nisaidieni
...umenikumbusha binti mmoja outing yetu ya kwanza kwenda kujirusha sehemu sehemu aliniuliza una gari? Nikamwambia usiwe na wasiwasi, basi katililia mwenyewe nilipompitia kwao kama saa mbili za usiku basi kutoka nje hakuna gari nikamwambia tunapanda dala dala acha aanze kulalama hahahaha lol! mpaka hii leo tukikutana huwa namtania, "una gari" tunaishia kucheka sana lol!
hii nayo mpya tena yaani changu lililokata tamaa na maisha linatafuta watu wa kufa nao ndie awe mpenzi wako kuliko mwanachuo anayeishi hostel oi! kwa hiyo kama wewe umekuwa na mpenzi wako anahitaji kuendelea na masoma hautakubali hilo jambo sio au utataka ahamie day wakati na wewe unaishi Kilimanjaro na chuo kipo Dar!
Kama huna ushauri bora kunyamaza...
Mchizi anaomba Ushauri na sio kukatisha tamaa wengi humu tunasoma jf
kuna kitu kuhusu wasichana wa ki tz na magari....
sijui ni nini hasa...
kuna mtu anayaita 'hirizi ya mjapan' lol......
alikosa confidence,sababu yeye ni mwanamke haswaaa mwenye haya za kike,aibu kula starehe na mwanaume wako mbele ya watu unaowafahamu.....
pili ingekuwa ametoka na mmojawapo asingekushika kiuno,amekushika kuwaonyesha she is taken/proud of you,.......kaka kosa ni kumkuta/kumfumania na mtu kitandani mengine yote yanasameheka/yanaongeleka sababu mapenzi ni imani tu..................................