BROWN ANGEL
Member
- May 8, 2011
- 5
- 1
Naombeni msaada wenu wana jf, post za ualimu sekondari ni lini maana nimesikia tu jama naibu waziri kazungumza ila sijajua ni lini amesema atatoa post hizo.
Mi naona kama tuendelee kusubiri inaonekana chungu kipo jikoni muda wote kitaipuliwa maana hata Website yao iko so bussy!
Taarifa ziczo rasm mpaka bunge liishe ndo watapost af wa2 weng wamepangwa kulingana na anwan zao. Km anwani yako ni loliondo umepangwa loliondo.
mmhhhhhh!!!!
yani hadi nahis kuizalilisha digrii yangu ya elimu mtaani coz miez 8 sasa no tamko loloteee
bunge litaisha lin? Kwan bunge na post kuna uhusiano gani hapo.
mi mwenyewe nashndwa kuwaelewa lkn tarifa nimezckia kutoka kwa m2 alie wizaran.
mh! Ngoja tuwackilizie, yani tunashindwa kuandika mkataba mpya private!