bwana mdogo sijawahi kuwezeshwa hata senti tano na ndugu wala mzazi wala serikali wala jamaa yoyote na nmetokea kwene familia yenye umaskini wa kutosha sanaaaa but now nimejiajiri vizur kabisa bila tatzo nadhani ingekua busara ukauliza niliweza vipi katika nchi hii iliyojaa vikwazo kuliko ulichofanya