tshabalala_the_greto
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 452
- 229
Kuna anayefahamu taratibu za usahili wao? wanafanya mtihani? oral interview? au inakuwaje?
Subiri kwanza uitwe
Ukiona hivyo ujue tayari ameshatengeneza mazingira ya awali. Ila hawa vijana wajue kua hata hawa wanaolalamika wana miaka saba sasa bila kazi sio kama hawaombi bali wakati mwingine kupata kazi ni bahati. Haiwezekani ununue mbeleko wakati mwana hajazaliwa bwana.
kwani kuna tatizo bro?nahitaji kufahamu tu,hayo ya mazingira yamekujaje sasa?kama ingekuwa hivyo unavyofikiri si ningemuuliza huyo aliyenitengenezea hayo mazingira?hacha kupanic mkuu!
Mkuu, usijari sana ukakosa kujiamini haya ni majibu yanayotoa changamoto kwako ili ujue pia njia nzuri ya kuuliza maswali, mfano ungeuliza iwapo mtu akiwa short listed je kuna aina gani za interview zinafuata?
huwa ni oral interview tuu
Mkuu, usijari sana ukakosa kujiamini haya ni majibu yanayotoa changamoto kwako ili ujue pia njia nzuri ya kuuliza maswali, mfano ungeuliza iwapo mtu akiwa short listed je kuna aina gani za interview zinafuata?
Kuna anayefahamu taratibu za usahili wao? wanafanya mtihani? oral interview? au inakuwaje?
wewe mtoto wa kigogo
wewe una hela
wewe una ndugu wa uhamiaji
kama huna yote haya subili kama utapata kazi
hacha kututisha,ajira tutapata,mungu ni zaidi ya yote kaka,cha muhimu ni kumuomba tu!.
Eti majina ya watakaoitwa kwenye usaili yatatolewa?
mkuu hapo ni Acha!!Hacha kututisha,ajira tutapata,Mungu ni zaidi ya yote kaka,cha muhimu ni kumuomba tu!.
mkuu jitahidi uwe unaandika vizuri bana!!1.Mimi najiamini sana kaka.
2.Swali lilikuwa very clear ndiyo maana limejibiwa.
3.Nahic wewe ndiyo iliyejaribu kucomplicate swali langu.