Hakuna kitu ambacho kipo smooth Brother....Mimi nimemliza degree 2016 nimefany EducationUshauri mzuri, ila binafs kwakuwa nmepitia uzoefu huo na mpaka sasa naendelea kukomaa kitaa, siwalaumu vijana kukomaa na ajira za serikali wako sawa kabisa tuwatie moyo.
Uhalisia wa kitaa ni mgumu sana, hata mwenye jitihada(bidii) kabisa anakwama kupata hata kibarua cha kupakiza tofali kwenye gari kupeleka site maana hata hiyo tu inahitaji connection, akisema asukume toroli nako kupata wateja ni kwa kujuana. Kwa mwenye mtaji, kama tunavozijua biashara zetu ndogondogo nyingi ni za kujiripua tu, so kuanguka(kupoteza mtaji) ni kwingi sana na inapelekea kijana kukata tamaa kabisa. Hivyo zinapotokea fursa za ajira hivi kijana anaomba walau akatumie taaluma yake kupata kipato cha kuendesha maisha yake.
Mi Nina miaka 15 Sina ajiraHabarini ndugu hakuna kipindi kigumu Kama hiki miaka 7 mtaani bila ajira kisaikolojia ni kipindi kigumu endapo watakosa tupeni ushauri jamaan 😭😭😭😭
Elimu ya cheti haiwezi kufutwa kwakuwa ndilo chaka la serikali kujipatia umaarufu wa kisiasa kwamba inatoa ajira Kwa vijana na isitoshe huko ndiko inajipatia cheap labours wanaofanya kazi kubwa Kwa malipo kiduchu.Ikiwa ivyo ni usanii na kukosa ubinadamu. Kuna wakat walisema ngaz ya chet inafutwa walimu wakajiendeleza iweje wawaache wa diplom, degrii na na post wachukue wa vyeti.?
Watoto wa leo wana access na Materials mbalimbali mwalm wa certificate na diploma anamwambia nini mtt wa 5G??????????????
Course gani?? Kama ni ualimu au afya Hilo sio kosa la serikali ni uzembe wako mwenyewe, maana huko nyuma ajira kwa sector hizo alikuwa haachwi mtu tatizo limeanza 2015, hivyo wanaopaswa kulaumu humu kutokana na jina la uzi ni hao wa kuanzia mwaka huo na mimi nikiwemo ambao mpaka sasa tuna miaka 8 kitaa.Mi Nina miaka 15 Sina ajira
Course gani?? Kama ni ualimu au afya Hilo sio kosa la serikali ni uzembe wako mwenyewe, maana huko nyuma ajira kwa sector hizo alikuwa haachwi mtu tatizo limeanza 2015, hivyo wanaopaswa kulaumu humu kutokana na jina la uzi ni hao wa kuanzia mwaka huo na mimi nikiwemo ambao mpaka sasa tuna miaka 8 kitaa.
Naunga mkono hoja, ajira ukiiomba huku una kitu kinachoendeleza maisha yako inaleta tija zaidi kuliko kuwa muomba ajir tu usiyetafuta kupambana na harakati zingine za kitaa.Hakuna kitu ambacho kipo smooth Brother....Mimi nimemliza degree 2016 nimefany Education
Mojor Geograph
Minor History
Tupo wengi sana mtaani mmi nimejikita kwenye kilimo kinanilipa nilianza kulima heka 2 mwak 2017.....
Kwa Sasa nalima heka 10 pia nafanya biashara ya mazao kidgo ....hakuna kukata tamaa ajira zikukutie mbali ....cc tuna mwanga wa elim kidgo .. karibu ,Omba Mungu ,tia bidiii .....
Sio kama nimefanikiwa hapana lakini namshukuru Mungu familia yang inapta mkate..
Tufnye kaz ambazo sio rasmi
Vua joho
Weka chet ndani
Jichanganye....Mungu yupo...
Post zikitoka omba ukipata fresh
Ukikosa komaa na mishe umri haukusubiriii...
Bravooo....Naunga mkono hoja, ajira ukiiomba huku una kitu kinachoendeleza maisha yako inaleta tija zaidi kuliko kuwa muomba ajir tu usiyetafuta kupambana na harakati zingine za kitaa.
Tufafanulie mkuu...afisa lishe mwenye connection nduguzo[emoji23] hili keka sio poa
Mkuu ,Mara nane ya ualimu means kama ana digrii ni 800,000 x 8 = 6,4000,000/= [emoji23][emoji23][emoji23] wadanganye watoto.Maisha bhan dah
Kuna demu nilizaa nae mtoto ni mwalimu wa phy na chem now yupo kwenye NGOs huko Kasulu anavuta mkwanjwa mara 8 ya salary ya teacher wa TAMISEMI
Nilimuombea hizi ajira akijua ni utani sasa yupo anaomba AKOSE [emoji3] alafu muda huo huo kuna mdau ana miaka 8 humu na masomo yake hayapo kwenye hizo nafasi[emoji21][emoji21]
Poleni saana Wanangu MSIO NA KAZI HAKIKA IPO SIKU YENU ITAFIKA
SOMETIME TUNAKOSA KAZI SABABU YA DHAMIRA ZETU MOYONI IMAGINE MTU ANAWAZA AKIPATA KAZI ATAWATIA SAANA WANAFUNZI
Wanashushwa kwenda wapi? Je na wale wa certificate nao watapanda kwenda wali,punguza stress za uhaba wa ajiraDiploma ndo hao wanaoshushwa mwakani? Upande wa sekondari wataajiri degree wengi.
Bilashaka nilisikià kuna waraka ulitolewa,sekondari wafundishe wenye digrii tu na kuendelea,ilhali watu wenye diploma na kushuka chini,wafundishe primary na chekechea.Wanashushwa kwenda wapi? Je na wale wa certificate nao watapanda kwenda wali,punguza stress za uhaba wa ajira
Sio kweli, hakuna walaka Bali kuna mtaala,walimu wa diploma in secondary watapaswa kupewa muda wa kujiendekeza nasio kushushwa,sasa wakishushwa na wamsingi wenye certificate watafanya nini au watawapeleka wapi!?Bilashaka nilisikià kuna waraka ulitolewa,sekondari wafundishe wenye digrii tu na kuendelea,ilhali watu wenye diploma na kushuka chini,wafundishe primary na chekechea.
Ok! asañte kwa ufafanuzi.Sio kweli, hakuna walaka Bali kuna mtaala,walimu wa diploma in secondary watapaswa kupewa muda wa kujiendekeza nasio kushushwa,sasa wakishushwa na wamsingi wenye certificate watafanya nini au watawapeleka wapi!?
Hapa hatoboi hata mmojaHahaaa acha lamli mzee, vp hist,geog,kisw
Wew unapata mwaka huu kinyume na hapo ni maajabu ya mwaka yatakuaMungu anisaidie, nasema kwa dhati kabisa.Nimesoma Bachelor of Education in Early childhood,teaching subject, English language na nimemaliza 2017,Mungu anione.Nimekaa kitaa,najaribu mishe,mara zinakubali,mara zinagoma,mara mtaji umeisha na umri unazidi kuongezeka.Mungu anisaidie,inachanganya sana.
Na iwe kama ulivyonena.Natanguliza shukrani zangu.Wew unapata mwaka huu kinyume na hapo ni maajabu ya mwaka yatakua
AminaNa iwe kama ulivyonena.Natanguliza shukrani zangu.
Inawezekana ukawa pacha wangu mana kila kitu ni same kuanzia mwaka mtaji mishe nk...Mungu anisaidie, nasema kwa dhati kabisa.Nimesoma Bachelor of Education in Early childhood,teaching subject, English language na nimemaliza 2017,Mungu anione.Nimekaa kitaa,najaribu mishe,mara zinakubali,mara zinagoma,mara mtaji umeisha na umri unazidi kuongezeka.Mungu anisaidie,inachanganya sana.