Ajira za TANAPA

Ajira za TANAPA

Jondi

Member
Joined
Nov 12, 2018
Posts
5
Reaction score
0
Naomba kujua kuhusu shortlist za Tanapa zinachukua muda gani kutolewa na ni wapi pa kuzipata?
 
Naomba kujua kuhusu shortlist za Tanapa zinachukua muda gani kutolewa na ni wapi pa kuzipata?
Ngoja aje H.Kigwangwala mkuu utapata majibu maridhawa....japo nae inaonekana tangu apate ajali dishi limeyumba, anapayuka tu huko twitter....
 
Wakuu habari za majukumu, samahani sijapata uhakika wa swala nililouliza
 
Binafsi naomba kujua ukiomba kazi sehemu, kwa kawaida huwa inachukua muda gani kutoa majibu ya watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili??
 
Binafsi naomba kujua ukiomba kazi sehemu, kwa kawaida huwa inachukua muda gani kutoa majibu ya watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili??
Mpaka deadline ya application ipite, kama uliapply kwenye tangazo hili endelea kuwa mvumilivu



Toggle navigation

MHIFADHI WANYAMAPORI III - 17 POST

Employer: Ministry of Natural Resources and Tourism
Date Published: 2018-11-23
Application Deadline: 2019-02-22

JOB SUMMARY:

N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

i.Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi;

ii.Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi;

iii.Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha;

iv.Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori;

v.Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali;

vi.Kufanya usafi na ulinzi wa kambi;

vii.Kusimamia uingiaji na utokaji wa watu na mali zao kwenye hifadhi;

viii.Kukusanya na kutunza vielelezo vya ushahidi na kutoa ushahidi Mahakamani;

ix.Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na kukusanya takwimu zao;

x.Kusimamia taratibu za kusafirisha wanyamapori hai na nyara nje na ndani ya Nchi;

xi.Kudhibiti wanyamapori waharibifu;

xii.Kudhibiti moto kwenye hifadhi; na

xiii.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake.


QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Astashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Technician Certificate in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.



REMUNERATION: Salary Scale TGS B2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka deadline ya application ipite, kama uliapply kwenye tangazo hili endelea kuwa mvumilivu



Toggle navigation

MHIFADHI WANYAMAPORI III - 17 POST

Employer: Ministry of Natural Resources and Tourism
Date Published: 2018-11-23
Application Deadline: 2019-02-22

JOB SUMMARY:

N/A

DUTIES AND RESPONSIBILITIES:

i.Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi;

ii.Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi;

iii.Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha;

iv.Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori;

v.Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali;

vi.Kufanya usafi na ulinzi wa kambi;

vii.Kusimamia uingiaji na utokaji wa watu na mali zao kwenye hifadhi;

viii.Kukusanya na kutunza vielelezo vya ushahidi na kutoa ushahidi Mahakamani;

ix.Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na kukusanya takwimu zao;

x.Kusimamia taratibu za kusafirisha wanyamapori hai na nyara nje na ndani ya Nchi;

xi.Kudhibiti wanyamapori waharibifu;

xii.Kudhibiti moto kwenye hifadhi; na

xiii.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake.


QUALIFICATION AND EXPERIENCE:

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Astashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Technician Certificate in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.



REMUNERATION: Salary Scale TGS B2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman mie naweza kuaply sasaiv au nimechelewaa?
 
Back
Top Bottom