Ajira za STAMICO

Ajira za STAMICO

Sir M.D.Andrew

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
201
Reaction score
37
Habari wakuu! Kuna yeyote anayejua interview ya kazi za stamico itakuwa lini,pia naomba kujuzwa kama wamesha shortlist--ahsanteni
 
Mi nashauri wadau wa ajira hasa unapoomba za Serikali, tuma application zako na learn how to forget about it, maana tabia zao hawa jamaa wanaweza kukaa hadi miezi nane kimya.
 
waairi huwa wanaahirisha mambo sana mpka tena waone crisis imerudi ndo wakumbuke backups za application files watu wanaanza kukimbia kimbia mara store au kwenye mabox yaliyotupwa huko na huko, nai k siku ya kuripoti kazini unapitishwa juu kwa juu airpot kwenda site bila hata ya kuingia head office kwanza ili kuwahi mambo na ma-deadlines kibao

Ila STAMICO walisema mtapewa majibu kupitia P.O.Box zenu mlizoonyesha kwenye anuani zenu
 
Back
Top Bottom