waliotuma kwenye Email Makao Makuu,walioombea kwa Makamanda mikoani wameanza kutumiwa meseji kwenye simu zao kuitwa kwenye Usaili,kijana wangu ametumiwa,yeye aliombea kwa Kamanda wa Polisi Singida,anatakiwa tarehe 23 saa 2:00 asubuhi kwa Kamanda Singida