Habari za siku wadau?
Naomba kuuliza, yale malalamiko ya walimu waliokosa ajira serikalini kwasababu ya kufail (sap) somo moja au mawili yamefikia wapi?
Kwa habari zisizo rasmi sana ni kwamba waliambiwa kuwa ajira zinaanza kutoka mwezi wa pili lakini aliye fail atapewa muda kusafisha cheti ila ajira atapata. Na kwa kuthitisha nina mdogo wangu aliyekuwa kwenye mkumbo huo ameitwa kuriport tarehe 1, February wilaya ya kwimba mkoa wa mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.