AJira ya temporary walimu.

AJira ya temporary walimu.

xxxdty

Member
Joined
Sep 22, 2017
Posts
37
Reaction score
20
Tangazo: walimu wa physics + chemistry na physics + mathematics , ambao hawaja pata tempo plz wasiliana na hii namba 0757817747/0658057519. kuna shirika linahitaji walimu wa masomo hayo.
 
Tangazo: walimu wa physics + chemistry na physics + mathematics , ambao hawaja pata tempo plz wasiliana na hii namba 0757817747/0658057519. kuna shirika linahitaji walimu wa masomo hayo.
KWANI UKITAJA SHIRIKA HILO KIPI KITAPUNGUA....HIZI NDOTABIA ZA UZWAZWA WALLAHK.....
 
Hawa jamaa ni matapeli. Kuna mdogo wangu nimempa hizi number amepigia zaidi ya mara kumi but hawapokei.simu inaita hadi inakata
 
Meseji za kufoward kwenye magroup ya wasap ni majanga.
 
Naomba kuuliza, ina maana matangazo ya humu ya kazi ni ya uongo uongo tusiyaamin sana kwa wagen kama sisi eeh?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom