Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,656
- 2,486
E
Every day rais anatoa vibali lakini ajira azitangazwi nchi ngumu sana hiii
Every day rais anatoa vibali lakini ajira azitangazwi nchi ngumu sana hiii
Bila kusahau kadi ya The Green Mambas!Wasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka.
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni
Hahahaa!Umuombe huyo muumba awanyime wengine akupe wewe?
Asante kwa content still tunasubirWasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka.
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni
Jidanganye utazurula sana na vyeti vyako, bila connection 🚫Acha kukata tamaa mapema, na kama umekata tamaa basi usifanye mwingine akate tamaa pia.
Shida wakiopewa hizo dhamana ndio mtaji wa wao kujinufaisha. Money talks.toHuko ni kujiwekea vizingiti wewe mwenyewe, always think positively.
Don't give up.Shida wakiopewa hizo dhamana ndio mtaji wa wao kujinufaisha. Money talks.to
Nimeshatoka huko kitambo, na wakati huo sikuwa na mjomba wala shangazi aliyenijua.Jidanganye utazurula sana na vyeti vyako, bila connection 🚫
Umuombe huyo muumba awanyime wengine akupe wewe?
MGANGA wa kienyeji mshirikisheWasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka.
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni
Hakuna ajira labda za uenyeviti wa vitongoji mitaa na vijiji
Hapa mtoa mada una maanisha ni ajira za sector ipi sasa wanataka kutoa..?Wasalamu ndugu,Bungeni Leo wamesema kibali Cha Ajira kimetoka.
Nawashauri vijana ambao mnategemea kuomba hasa zile za kuaaply mfanye maandalizi mapema.
1.Vyeti vyako visiwe mbali na wewe
2.Simu yako isikose bando
3.Line yako uliyoijaza kwenye CV yako iwe hewani mda wote
4.Wasiliana na mliomaliza nao wakupe A,B,C
5.Kaa maeneo yenye access ya kupata taarifa muhimu(Be updated)
6.Muombe Muumba wako mana Kuna stiff competition.
Wengine watakuja na ushauri pia.
Karibuni
Sio awanyime wengine hapana, ila MUNGU anapenda kukumbushwa ndugu yangu matayo 7:7,Umuombe huyo muumba awanyime wengine akupe wewe?
Sio awanyime wengine hapana, ila MUNGU anapenda kukumbushwa ndugu yangu matayo 7:7,Umuombe huyo muumba awanyime wengine akupe wewe?
Wakiisha kupeana wanaojuana na sisi tutakumbukwa.Kama hauna wa kukushika mkono sahau aba dan. Siku hizi watu wanapeana kwa kuujuana.