Naomba Msaada kwenye kipengele cha Verification Certificate katika Ajira Portal

MADABACHU

JF-Expert Member
Nov 24, 2020
325
379
Naombeni Msaada kwenye kipengele cha Verification Certificate, inatakiwa vyeti viwe certified na mwanasheria au na ni kila mtu lazima afanye hivyo au inakuaje.
 
Verification certificate ni category inayojazwa na watu walio soma nje ya nchi yaani vyuo ambavyo havisimamiwi na mamlaka za ndani za kielimu ndiyo huwa wana jaza hapo.

Kwa mbongo tu uliesoma hapahapa nchini jaza kawaida lakini unapoappload document yoyote hakikisha imesainiwa na wakili.
 
Napenda kufahamu kitu kimoja jamani kwenye masuala ya uandishi wa barua ya kazi utumishi.
Utumishi kwenye Ajira portal yao wanahitaji meombaji kazi aambatanishe barua ya kazzi ambayo imeandikwa kwa kingereza au Kiswahili.

Sasa issue ni kwamba, post ya Kazi husika kwenye Ajira portal imeandikwa kwa kingereza, mfano:- "Research Assistant"
Je, kama Mimi nataka kuandika barua kwa lugha ya kiswahili ninaweza kulibadilisha hilo neno Research Assistant na kulipeleka kwenye kiswahili na likakubalika/ bila kuharibu nafasi ya post husika AU inabidi niandike hvyohvyo kwenye title Hali ya kuwa barua naandika kwa Kiswahili..?
 
Napenda kufahamu kitu kimoja jamani kwenye masuala ya uandishi wa barua ya kazi utumishi.
Utumishi kwenye Ajira portal yao wanahitaji meombaji kazi aambatanishe barua ya kazzi ambayo imeandikwa kwa kingereza au Kiswahili.

Sasa issue ni kwamba, post ya Kazi husika kwenye Ajira portal imeandikwa kwa kingereza, mfano:- "Research Assistant"
Je, kama Mimi nataka kuandika barua kwa lugha ya kiswahili ninaweza kulibadilisha hilo neno Research Assistant na kulipeleka kwenye kiswahili na likakubalika/ bila kuharibu nafasi ya post husika AU inabidi niandike hvyohvyo kwenye title Hali ya kuwa barua naandika kwa Kiswahili..?
Fanya kama ambavyo tangazo la kazi limekuja, we utajaza kiswahili vp na post ni ya kiingereza?
 
Back
Top Bottom