Ajira polisi

Ajira polisi

Twyn

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2020
Posts
993
Reaction score
551
IMG_6480.jpg
 
Mkuu si umeona sifa ni division 4?
Hahahaha! Hawataki wale wa kujiendeleza kimasomo,hivyo hizo four za 29 hadi 32 hazinaga appetite ya kusoma kufikia kiwango flani cha elimu, nadhani hii itakuwa msaada mkubwa kwa jeshi kuwa na nguvu kazi muda mrefu.akili zangu zinavyonituma lkn kama sijafikiria vibaya
 
Wanasema kuomba peleka maombi yako kwa kamanda wa polisi wa mkoa uliopo. Sasa nashindwa kuelewa kamanda wa polisi ndo wapi? Hasa kwa hapa dar.
 
Wenye connection kazi kwenu,acha tuwazae wakina Hamza mjaribiwe weredi wenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom