MajorDavid1992
New Member
- Nov 8, 2018
- 2
- 3
Poleni na majukumu ya kila siku.
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.
Kama umevutiwa nifate inbox
Natafuta kijana aliechangamka
Kazi: Hii ni part time job. (Kulingana na makubaliano)
Sifa
1. Awe anaifahamu Dar es Salaam vizuri
2.Awe na ushawishi mkubwa
N.B
Elimu ya darasani sio lazima ila akiwa nayo itakua added advantage.
Kama umevutiwa nifate inbox




