Ajira mpya zilizositishwa

Ajira mpya zilizositishwa

Wakuu wa jf
Kwa wale ambao ajira zao zilisitishwa kupisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa wawasiliane na maafisa utumishi wao....Mimi leo nimeenda kwa hr wangu na tayari nimerudishwa kwenye system na tarehe 30 septemba naripoti kazini

Hi na wanaoomba likizo bila malipo ?ruksa au????
 
Huyu mleta Uzi sio huyu. Walitengeneza story na mwenzake kwenye thread iliyopita. Yeye akiwa na shida na kwamba sasa amefanikiwa. Ukiingia mkenge unalo.....
 
Wakuu wa jf
Kwa wale ambao ajira zao zilisitishwa kupisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa wawasiliane na maafisa utumishi wao....Mimi leo nimeenda kwa hr wangu na tayari nimerudishwa kwenye system na tarehe 30 septemba naripoti kazini

Mkuu hii ni taarifa sahihi? Mbona wapo wengi mtaani hawajaitwa tena? kuna mshikaji wangu aliajiriwa chuoni UDSM ila naona hajapewa taarifa zozote
 
Back
Top Bottom