Utata Umegubika Ajira Za Walimu 2013 Zilizosemwa Kutangazwa Januari Kama Rais Kikwete Alipoudanganya Umati Huko Kigoma Ktk Uwanja Wa Barafu Pia Waziri Mlugo Nae Akatoa Tamko Kuwa Ni Januari! Wote Hawa Wamelidanganya Taifa.Tuwe Macho Ktk Uchaguzi 2015.
Utata Umegubika Ajira Za Walimu 2013 Zilizosemwa Kutangazwa Januari Kama Rais Kikwete Alipoudanganya Umati Huko Kigoma Ktk Uwanja Wa Barafu Pia Waziri Mlugo Nae Akatoa Tamko Kuwa Ni Januari! Wote Hawa Wamelidanganya Taifa.Tuwe Macho Ktk Uchaguzi 2015.
utata umegubika ajira za walimu 2013 zilizosemwa kutangazwa januari kama rais kikwete alipoudanganya umati huko kigoma ktk uwanja wa barafu pia waziri mlugo nae akatoa tamko kuwa ni januari! Wote hawa wamelidanganya taifa.tuwe macho ktk uchaguzi 2015.
Suala linaloiathir mambo ya ajira ni issue ya pesa kutoka hazna kuu, xasa mie najiuliza kuwa nn maana ya bajet, mbona wizara zingine inaposomwa bajet na kupitishwa matumiz yanaanza mara moja. Au fungu la ajira limekopeshwa..!
Tatizo hii nchi ishazoea kila kitu siasa! Coz rais anatangaza ajira jan na had wazir wake bila aibu nae anasema jan af hii feb hakuna hata mmoja aliyesema chochote! Na rais wa nchi hayupo sirias kabisa!
Watu tumeacha tangu tar 31 jan mikataba ya pattime ilipoisha huku tukijua kuwa tar 1 feb mambo shwar! Had sasa hatujui kinachoendelea! Najuta kuwa mtanzania!
Utata Umegubika Ajira Za Walimu 2013 Zilizosemwa Kutangazwa Januari Kama Rais Kikwete Alipoudanganya Umati Huko Kigoma Ktk Uwanja Wa Barafu Pia Waziri Mlugo Nae Akatoa Tamko Kuwa Ni Januari! Wote Hawa Wamelidanganya Taifa.Tuwe Macho Ktk Uchaguzi 2015.
Hawa viongozi wanaamua kuudanganya umma kiasi hicho walisahau kama kuna watu wenye njaa wanawasikiliza AJIRA ZA WALIMU LINI JAMANI NA HUU NI MWEZI WA PILI
Mbona kuna mtu kanipigia leo na kuniambia kuwa post elimu (ajira) zimetangazwa leo? Cha ajabu ukijaribu W.Elimu inagoma na kuleta msg kuwa ipo suspended. Kama kuna mwenye taarifa zaidi atujuze na kutupa link
Mbona kuna mtu kanipigia leo na kuniambia kuwa post elimu (ajira) zimetangazwa leo? Cha ajabu ukijaribu W.Elimu inagoma na kuleta msg kuwa ipo suspended. Kama kuna mwenye taarifa zaidi atujuze na kutupa link