Jaman kuna tetes eti post za walimu mwaka huu zitatolewa octoba? kama kuna anayejua ukwel tafadhal..
Jaman kuna tetes eti post za walimu mwaka huu zitatolewa octoba? kama kuna anayejua ukwel tafadhal..
Walimu mshaanza usumbufu wenu allan clement mmemaliza juz
Acheni ujinga, wewe msomi mzima unakaa kusubiri kuajiriwa. Kuweni wabunifu ili kujiingizia kipato!