Kila mtu anapenda kazi ili apate pesa
Sasa kazi zipo kwa wachache...
Serikali iangalie namna ya kutengeneza Ajira
Kipimo kikubwa kwa serikali yeyote makini duniani ni kuongeza ajira...create jobs
Obama wakati aliingia madarakani aliahidi ajira na kweli Obama akaweza....
Sarkosy wa Ufaransa alishindwa kutengeneza ajira, akawa one term president....
Faida za kutengeneza ajira ni kubwa mno
1- Kutumia nguvu kazi ya vijana kuzalisha mali na kuinua uchumi
2 - Hizo ajira, lazima walipe PAYE Na kodi ya VAT kwa sababu watanunua bidhaa
Namna gani kutengeneza Ajira
1 - Tenga maeneo maalumu (Land bank/ardhi maalum), karibisha vijana Wa Kitanzania na Watanzania wengine
Kila Mwaka watalipa Kodi kwa serikali
Sasa hivi Kijana yeyote au Mtanzania akitaka kuanzisha Kilimo, atakwama....hajui aanzie kwa Lukuvi au aanzie wizara ya kilimo au sijui wapi...Darkness
Kilimo ndo kitazalisha Mali ghafi za Tanzania ya Viwanda....
Kuna fursa nyingi za Kilimo na masoko
----Kilimo cha Miwa (Sukari)
---Kilimo cha Mawese (Palm oil)
-Alizeti (sunflower)
-Sesami (ufuta)
-Maize
2 - Tourism improvement..
Fanya marketing promotion za kutosha kupata watalii
Hizo hapo juu ndo Road Map ya kwenda kwenye Tanzania ya Viwanda
Utalii ndo njia rahisi ya kucreate employment na kuuza mazao ya kilimo
Uchumi utakuwa kwa asilimia kubwa tukifungua southern circuit mpaka Songea
Iko wapi Travel plan labda ya siku 5 mpaka siku 10 ya kumpa mtalii
Mtalii anatua Dar, apande Precision or Fastjet mpaka songwe, Mbeya -Katavi, songea and fly back to Dar......TTB work on this
Tuandae mazingira ya watalii matajiri, Not now, we are not read for rich tourists.
Tuandae kwa miaka 2 au 5......Tusikurupuke
Tuachane na Siasa, tuangalie maisha ya Watanzania yakoje....
Siasa tuzingoje mpaka 2020....Sorry please
Sasa kazi zipo kwa wachache...
Serikali iangalie namna ya kutengeneza Ajira
Kipimo kikubwa kwa serikali yeyote makini duniani ni kuongeza ajira...create jobs
Obama wakati aliingia madarakani aliahidi ajira na kweli Obama akaweza....
Sarkosy wa Ufaransa alishindwa kutengeneza ajira, akawa one term president....
Faida za kutengeneza ajira ni kubwa mno
1- Kutumia nguvu kazi ya vijana kuzalisha mali na kuinua uchumi
2 - Hizo ajira, lazima walipe PAYE Na kodi ya VAT kwa sababu watanunua bidhaa
Namna gani kutengeneza Ajira
1 - Tenga maeneo maalumu (Land bank/ardhi maalum), karibisha vijana Wa Kitanzania na Watanzania wengine
Kila Mwaka watalipa Kodi kwa serikali
Sasa hivi Kijana yeyote au Mtanzania akitaka kuanzisha Kilimo, atakwama....hajui aanzie kwa Lukuvi au aanzie wizara ya kilimo au sijui wapi...Darkness
Kilimo ndo kitazalisha Mali ghafi za Tanzania ya Viwanda....
Kuna fursa nyingi za Kilimo na masoko
----Kilimo cha Miwa (Sukari)
---Kilimo cha Mawese (Palm oil)
-Alizeti (sunflower)
-Sesami (ufuta)
-Maize
2 - Tourism improvement..
Fanya marketing promotion za kutosha kupata watalii
Hizo hapo juu ndo Road Map ya kwenda kwenye Tanzania ya Viwanda
Utalii ndo njia rahisi ya kucreate employment na kuuza mazao ya kilimo
Uchumi utakuwa kwa asilimia kubwa tukifungua southern circuit mpaka Songea
Iko wapi Travel plan labda ya siku 5 mpaka siku 10 ya kumpa mtalii
Mtalii anatua Dar, apande Precision or Fastjet mpaka songwe, Mbeya -Katavi, songea and fly back to Dar......TTB work on this
Tuandae mazingira ya watalii matajiri, Not now, we are not read for rich tourists.
Tuandae kwa miaka 2 au 5......Tusikurupuke
Tuachane na Siasa, tuangalie maisha ya Watanzania yakoje....
Siasa tuzingoje mpaka 2020....Sorry please