A
Anonymous
Guest
Mimi ni mmojawapo wa waaajiriwa katika idara mpya katika Halmashauri ya mji Kasulu.
Tumeajiriwa toka tarehe 1/07/2025 mpaka sasa hatujalipwa pesa za kujikimu.
Tukiiuliza, wanasema pesa hazijaja na zinatoka Serikali Kuu.
Je, ni kwanini tulioajiriwa nao kada moja na kwa wakati mmoja wamelipwa lakini Halmashauri ya Mji Kasulu haitupi majibu sahihi wale ajira mpya tunaodai toka mwezi wa 7 mwaka jana?
Tumeajiriwa toka tarehe 1/07/2025 mpaka sasa hatujalipwa pesa za kujikimu.
Tukiiuliza, wanasema pesa hazijaja na zinatoka Serikali Kuu.
Je, ni kwanini tulioajiriwa nao kada moja na kwa wakati mmoja wamelipwa lakini Halmashauri ya Mji Kasulu haitupi majibu sahihi wale ajira mpya tunaodai toka mwezi wa 7 mwaka jana?