Ajira mpya hizo

Ajira mpya hizo

Tee Rex

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
661
Reaction score
730
40c39ff448f93a4050d9c60dc469a747.jpg
f406acc1f6c0cc6782a1ca479e70b294.jpg
 
Jamani kwahiyo ndo ziko wazi hizo nafasi au bado azijatangwazwa na halmashauri
 
Ukiingia tamisem hiyo barua haipo wala tangazo...isije ikawa za mtaani hizo barua
 
Tamisemi kuna taarifa inayoonyesha vituo vya afya kuwa na wahasibu katika mikoa 26 ambayo inadhaminiwa na USAID watu 490 wanapewa mafunzo wakati vituo vya 550 zahati 6800 na hospital za wiliya 135 zikitegemewa kunufaika
 
Tamisemi kuna taarifa inayoonyesha vituo vya afya kuwa na wahasibu katika mikoa 26 ambayo inadhaminiwa na USAID watu 490 wanapewa mafunzo wakati vituo vya 550 zahati 6800 na hospital za wiliya 135 zikitegemewa kunufaika
Pia shule za msingi na sekonda zaid 20,000
 
Tamisemi kuna taarifa inayoonyesha vituo vya afya kuwa na wahasibu katika mikoa 26 ambayo inadhaminiwa na USAID watu 490 wanapewa mafunzo wakati vituo vya 550 zahati 6800 na hospital za wiliya 135 zikitegemewa kunufaika
Nifafanulie hii hesabu yako mkuu sijaielewa......................
 
Back
Top Bottom