Hata ukiuliza wafanya kazi tamisemi wanasema ni uongoUkiingia tamisem hiyo barua haipo wala tangazo...isije ikawa za mtaani hizo barua
Pia shule za msingi na sekonda zaid 20,000Tamisemi kuna taarifa inayoonyesha vituo vya afya kuwa na wahasibu katika mikoa 26 ambayo inadhaminiwa na USAID watu 490 wanapewa mafunzo wakati vituo vya 550 zahati 6800 na hospital za wiliya 135 zikitegemewa kunufaika
Nifafanulie hii hesabu yako mkuu sijaielewa......................Tamisemi kuna taarifa inayoonyesha vituo vya afya kuwa na wahasibu katika mikoa 26 ambayo inadhaminiwa na USAID watu 490 wanapewa mafunzo wakati vituo vya 550 zahati 6800 na hospital za wiliya 135 zikitegemewa kunufaika
Taarifa rasimi IPO kwenye website ya tamisemi ,tamisemi. go.tzNifafanulie hii hesabu yako mkuu sijaielewa......................
Basi ni accountant assistantKumbe wasaidizi wa hesabu ndio wahasibu?