Tody's vision
Member
- Sep 10, 2011
- 14
- 2
<br /><font size="3">vp una uwezo wa kutembea kwa miguu umbali wa km500 hku ukiwa na mzigo wa tani 2 kichwani?</font>
sijapenda jinsi watu mlivyo na maelekezo yasio na kichwa wala mguu..et akimbie mpaka kunduchi..unaumwa nini...
fuatilia makao makuu ya jeshi kujua lini kuna nafasi na kama una profession yako tayari maisha rahisi...
anza kukimbia kuanzia mwenge hadi kunduchi tegeta kwenye kambi yao ukifika huko tayari umefaulu interview mradi uwe na shahidi wako tu!!
<br />Jitahidi kuwaulizia wenyeviti wa mitaa or afisa mtendaji pia jaribu kwenda kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya huwa wanaweka matangzo na ulizia hata kwa wanajeshi wenye vyeo watakusaidia kaka na utafanikiwa tu.