Fazz JF-Expert Member Joined Mar 14, 2019 Posts 631 Reaction score 1,439 Jul 17, 2025 #1 Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja Location : Kariakoo Mshahara maeleano Umri wowote ila awe anajituma Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
Wanahitajika mabinti wawili kwa ajili ya kufanya kazi ya kusambaza chakula kwa wateja Location : Kariakoo Mshahara maeleano Umri wowote ila awe anajituma Kama upo tayari zama inbox tuyajenge
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,141 Jul 18, 2025 #2 Sio ajira hii.. Acha mambo yako wewe
M mtoto ya simba Member Joined Jul 6, 2025 Posts 14 Reaction score 19 Jul 19, 2025 #3 Kama malipo kwa siku yanafika kuanzia 7000 leta namba nikupe mtu wa kufanya hiyo kazi
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 348,121 Reaction score 1,249,300 Jul 19, 2025 #4 Ila awe anajituma isiwe kulazimisha atafute wateja kwa mbinu chakavu