Halafu mtu akitoka mwanza kuja sumbawanga akakaa hata siku nne anasotea atapoteza hela nyingi, bora wangefanya interview katika kanda tofauti, kwa sababu ni serikali!hii sio fair kabisa yaani 35<age<45
Apply tuu halafu una miaka 23 utapata bahati ya kuitwa nenda mpaka Rukwa Choma Nauli. Fanya written Ukifika Oral wanakuuliza tuu una Miaka mingapi? mwisho wa Interview.Kikubwa ni kuapply tu
Teeeeh..... Asante kwa kujaApply tuu halafu una miaka 23 utapata bahati ya kuitwa nenda mpaka Rukwa Choma Nauli. Fanya written Ukifika Oral wanakuuliza tuu una Miaka mingapi? mwisho wa Interview.


Yeah si unajua Mizani Ukikaa miaka 3 tu basi Lazima Ukusanye pesa ya maanaUmri duh sie wenye 26 tumeachwa tukue kwanza haaa haaa hata wakatisha tiketi za tren ya mwakyembe ni above 35 wale