Wiki kadhaa nyuma waziri wanchi ofisi ya rais utumishi Angela Kairuki alitangaza kuwepo kwa upungufu wa rasilimali watu katika taasisi mbalimbali za serikali hivi wadau nyie mnaupdate yoyote kuhusu hizo ajira? maana naona kimyaaaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app