Ajinyonga kwa kukataliwa na mpenziwe

Ajinyonga kwa kukataliwa na mpenziwe

Ila uchunguzi wa vifo tanzania ni mdogo sana vyombo vya usalama huamini mapema taarifa ila kwa huyu mi naona bado maswali yapo mengi tu maana hiyo karatasi na sms wanaweza kutuma wengine pia ili kuficha habari
 
sure ? nijinyonge kwa ajili ya mbunye ? alafu mtu mwenyewe ni mpenzi tu cjamuoa wala cjawahi kumlipia mahari ? labda pengine mimi ni mmbahili kuhonga ndio maana hata mpenzi wangu akinitamkia sikutaki namwambia poa na maisha yanasonga. kuna shida naiona hapa mwanaume unakuwa na mtu pengine ukajiridhia atakuja kuwa mama watoto wako ukaanza kuhudumia kama mke vile, ghafla mrembo anabadili gia angani baada ya kumpata mwingine, hapa ndipo mtu unajinyonga......what a shame, halafu wanaume wengi wa mkoani ndio wnajinyonga why ? wanahofia kutopata mwingine mzuri kama wa mwanzo...
 
sure ? nijinyonge kwa ajili ya mbunye ? alafu mtu mwenyewe ni mpenzi tu cjamuoa wala cjawahi kumlipia mahari ? labda pengine mimi ni mmbahili kuhonga ndio maana hata mpenzi wangu akinitamkia sikutaki namwambia poa na maisha yanasonga. kuna shida naiona hapa mwanaume unakuwa na mtu pengine ukajiridhia atakuja kuwa mama watoto wako ukaanza kuhudumia kama mke vile, ghafla mrembo anabadili gia angani baada ya kumpata mwingine, hapa ndipo mtu unajinyonga......what a shame, halafu wanaume wengi wa mkoani ndio wnajinyonga why ? wanahofia kutopata mwingine mzuri kama wa mwanzo...
Inaonekana huwa na hofu kua hawa to pata wazur Kama wa mwanzo.
 
Nahisi huyo dada ana mnato hatari kuliko hata mnato wa superglue.
 
Hivi nyinyi vijana mnapoamua kujiua kwaajili ya mtu uliyekutana nae ukubwani mnawaza majonzi mnayowaachia waliowazaa na kuwalea kwa mapenzi yote?

Huwa hawawazi hilo, wanakua wabinafsi tu. Wanajifikiria wao
 
Hizo ziiipendwa mbunye kibao, unajinyonga,wanaume tusipende kupitiliza
Yaani ivi inakuaje eti MTU unafikia hatuwa yakuji nyonga kujipa sumu eti Lisa mwanamje ao kisa pesa. Daah sijawai hata kufikiri Huwo ujinga kwakweli. Ila yote na yote R.I.P
 
Ila uchunguzi wa vifo tanzania ni mdogo sana vyombo vya usalama huamini mapema taarifa ila kwa huyu mi naona bado maswali yapo mengi tu maana hiyo karatasi na sms wanaweza kutuma wengine pia ili kuficha habari
na kweli, wangechunguza hata mwandiko.
 
Kweli life is not fair we must accept it.wakati wengine wapo hoi muhimbili wakipigania roho zao zisitoke,wengine wanatoa roho zao kwa ajili ya papuchi zinazouzwa 3000 kwa wahaya!!!
 
  1. Wanawake sio wa kuwaamini kabisa...hata kama mmependana miaka 15 ahead ipo siku atakuja kukugeuka kama nyoka.
  2. Huyo kijana kachukuwa uamuzi wa haraka sana,, alipaswa akae na wazazi wake awakutanishe face to face na wazazi wa mwanamke wayaongee wayamalize...kujinyonga hakusaidii chochote bali unaufuata moto,,, na msichana anakula life mtaani.

Hiyo ndio hasara yake amekosa yote......
 
Back
Top Bottom