Ajali

Ajali

combra

Senior Member
Joined
May 28, 2012
Posts
130
Reaction score
31
Nilipata ajali na pikipiki nikapata majeraha kwenye goti lkn vidonda vimepona lkn mguu hautaki kunyooka alafu maeneo ya goti bado kunauvimbe naombeni msaada nitumie dawa gani ya kunywa na ya kuchua msaada plz
 
Nilipata ajali na pikipiki nikapata majeraha kwenye goti lkn vidonda vimepona lkn mguu hautaki kunyooka alafu maeneo ya goti bado kunauvimbe naombeni msaada nitumie dawa gani ya kunywa na ya kuchua msaada plz
Dawa ni Kwenda hospital au kituo cha afya kwa uchunguzi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom